ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

WAZIRI DKT. HOMERA ASISITIZA HUDUMA ZA KISHERIA NA UWAJIBIKAJI, VIONGOZI MKOA WA KATAVI WAPONGEZWA

Автор: KATAVI RS

Загружено: 2026-02-11

Просмотров: 55

Описание: Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera, leo Febuari 11, 2025, amewasili mkoani Katavi kwa ziara ya kikazi inayolenga kujenga uwezo wa viongozi wa umma na wadau wa sekta ya sheria.

Mhe. Dkt. Homera amepokelewa katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi na mwenyeji wake, Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko, kabla ya kuanza rasmi ratiba ya mkutano wa kikazi unaohusisha mikoa ya Ukanda wa Magharibi na Nyanda za Juu Kusini.

Akiwa mkoani Katavi, atashiriki mkutano wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) pamoja na wajumbe wa Bodi za Wadhamini kutoka mikoa ya Katavi, Rukwa, Kigoma, Songwe, Mbeya na Tabora, wenye lengo la kuimarisha usimamizi na uwajibikaji wa bodi hizo.

Siku ya pili ya mkutano itawahusisha Maafisa Tarafa, Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakuu wa Wilaya kwa lengo la kuwajengea uwezo katika kushughulikia masuala ya kisheria yanayowagusa wananchi, ikiwemo migogoro ya ardhi, ndoa na familia.

Mhe. Dkt. Homera amesema Wizara inaendelea kuboresha huduma za kisheria kwa kujenga na kukarabati mahakama za mwanzo ili kusogeza huduma karibu na wananchi.

“Serikali imejipanga kuhakikisha huduma za kisheria zinapatikana kwa urahisi na kwa kuzingatia misingi ya haki. Hatuwezi kufikia maendeleo bila kuimarisha uwajibikaji,” amesema.

Amesema wizara kwa kushirikiana na RITA imeweka utaratibu wa kutoa vyeti vya kuzaliwa ndani ya saa 48 baada ya kukamilika kwa usajili.

Aidha, Mhe. Dkt. Homera amepongeza uongozi wa Mkoa wa Katavi kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo, akieleza kuwa hatua hiyo imechangia kuimarika kwa huduma kwa wananchi na kuvutia uwekezaji.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko, amesema mkutano huo utawasaidia viongozi wa wilaya na tarafa kupata uelewa wa kina katika utatuzi wa migogoro inayowakabili wananchi.

Naye Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA, Bw. Frank Kanyusi, amesema viongozi wa Wilaya ndiyo wanaokutana moja kwa moja na changamoto za wananchi, hivyo mafunzo hayo yataongeza ufanisi katika utoaji wa maamuzi kwa kuzingatia sheria.

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
WAZIRI DKT. HOMERA ASISITIZA HUDUMA ZA KISHERIA NA UWAJIBIKAJI, VIONGOZI MKOA WA KATAVI WAPONGEZWA

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

RC MRINDOKO AAGIZA WAFANYABIASHARA KATAVI KUTOPANDISHA BEI WAKATI WA MFUNGO WA KWARESMA NA RAMADHANI

RC MRINDOKO AAGIZA WAFANYABIASHARA KATAVI KUTOPANDISHA BEI WAKATI WA MFUNGO WA KWARESMA NA RAMADHANI

SERIKALI YAKAGUA MASOKO KATAVI, YASISITIZA USAFI NA BEI STAHIKI ZA BIDHAA.

SERIKALI YAKAGUA MASOKO KATAVI, YASISITIZA USAFI NA BEI STAHIKI ZA BIDHAA.

MKOA WA KATAVI WAZINDUA MRADI WA KULINDA IKOLOJIA

MKOA WA KATAVI WAZINDUA MRADI WA KULINDA IKOLOJIA

CHEKI RC MHITA ALIVYOTATUA MGOGORO WA MWANAMKE ALIYETELEKEZWA NA MUMEWE SHINYANGA.

CHEKI RC MHITA ALIVYOTATUA MGOGORO WA MWANAMKE ALIYETELEKEZWA NA MUMEWE SHINYANGA.

МЫНА САГА! БОЛГОН ЧЫНДЫКТЫ АЧЫКТАДЫ / АЯГЫ КЕЛИП КАЛПЫ ЧЫКТЫ / КИМИСИ КЫЙЫН?

МЫНА САГА! БОЛГОН ЧЫНДЫКТЫ АЧЫКТАДЫ / АЯГЫ КЕЛИП КАЛПЫ ЧЫКТЫ / КИМИСИ КЫЙЫН?

RC MRINDOKO AAGIZA HATUA KALI KUFUATIA UCHELEWAJI WA MRADI WA DARAJA LA MIRUMBA.

RC MRINDOKO AAGIZA HATUA KALI KUFUATIA UCHELEWAJI WA MRADI WA DARAJA LA MIRUMBA.

RC MRINDOKO AKABIDHI OFISI YA MACHINGA NA MAAFISA USAFIRISHAJI.

RC MRINDOKO AKABIDHI OFISI YA MACHINGA NA MAAFISA USAFIRISHAJI.

Ордону өзгөрткөн он күн

Ордону өзгөрткөн он күн

Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Kinga ya Jamii Arusha

Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Kinga ya Jamii Arusha

Щойно! НАЖИВО ЗІ ЛЬВОВА – ймовірну ВИКОНАВИЦЮ ТЕРАКТУ ЗАТРИМАЛИ. Ось КИМ ВИЯВИЛАСЬ, перша ЗАЯВА МВС

Щойно! НАЖИВО ЗІ ЛЬВОВА – ймовірну ВИКОНАВИЦЮ ТЕРАКТУ ЗАТРИМАЛИ. Ось КИМ ВИЯВИЛАСЬ, перша ЗАЯВА МВС

RC MRINDOKO AKABIDHI HUNDI YA SHILINGI BILIONI 1.7 KWA WANANCHI WALIOPISHA ENEO LA UPANUZI WA CHUO.

RC MRINDOKO AKABIDHI HUNDI YA SHILINGI BILIONI 1.7 KWA WANANCHI WALIOPISHA ENEO LA UPANUZI WA CHUO.

📌RUWSA yalia na Madeni Sasa yafikia Bil 1.7

📌RUWSA yalia na Madeni Sasa yafikia Bil 1.7

RC MRINDOKO AZINDUA RASMI MRADI WA USAMBAZAJI WA MAJIKO BANIFU MKOANI KATAVI

RC MRINDOKO AZINDUA RASMI MRADI WA USAMBAZAJI WA MAJIKO BANIFU MKOANI KATAVI

RC MRINDOKO ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MIKATABA YA MATENGENEZO YA BARABARA YENYE THAMANI YA BILIONI 1.6

RC MRINDOKO ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MIKATABA YA MATENGENEZO YA BARABARA YENYE THAMANI YA BILIONI 1.6

RC MRINDOKO ASHIRIKI NGUVU KAZI JUENZI WA SHULE MPYA

RC MRINDOKO ASHIRIKI NGUVU KAZI JUENZI WA SHULE MPYA

REFERENDUM w sprawie sądownictwa? Co zrobi Prezydent NAWROCKI? | Salonik Ziemkiewicza cz. 2

REFERENDUM w sprawie sądownictwa? Co zrobi Prezydent NAWROCKI? | Salonik Ziemkiewicza cz. 2

RC MRINDOKO ATOA ONYO KWA TAASISI ZA UMMA KUZALISHA MADENI MAPYA, ASISITIZA UADILIFU.

RC MRINDOKO ATOA ONYO KWA TAASISI ZA UMMA KUZALISHA MADENI MAPYA, ASISITIZA UADILIFU.

TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKAMILISHA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU 2025 MKOANI KATAVI.

TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKAMILISHA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU 2025 MKOANI KATAVI.

RC MRINDOKO ASEMA BIMA YA AFYA KWA WOTE ITAONDOA CHANGAMOTO ZA UPATIKANAJI WA HUDUMA ZA MATIBABU

RC MRINDOKO ASEMA BIMA YA AFYA KWA WOTE ITAONDOA CHANGAMOTO ZA UPATIKANAJI WA HUDUMA ZA MATIBABU

RC MRINDOKO AWAOMBA WANANCHI KUENDELEA NA SHUGHULI ZAO KAMA KAWAIDA, ASEMA MKOA WA KATAVI UKO SALAMA

RC MRINDOKO AWAOMBA WANANCHI KUENDELEA NA SHUGHULI ZAO KAMA KAWAIDA, ASEMA MKOA WA KATAVI UKO SALAMA

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]