ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

RC MRINDOKO ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MIKATABA YA MATENGENEZO YA BARABARA YENYE THAMANI YA BILIONI 1.6

Автор: KATAVI RS

Загружено: 2025-11-10

Просмотров: 229

Описание: Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko, leo Novemba 10, 2025 ameshuhudia hafla ya utiaji saini wa mikataba ya matengenezo ya barabara inayotekelezwa na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) katika mkoa wa Katavi.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, RC Mrindoko amesema mikataba hiyo ina thamani ya jumla ya shilingi bilioni 1.644, ambapo kati ya mikataba 10 iliyosainiwa, miradi sita yenye thamani ya shilingi milioni 171.08 imetolewa kwa vikundi maalum vya wanawake, vijana na wazee.

RC Mrindoko ameipongeza TARURA kwa hatua ya kuwashirikisha makundi hayo maalum katika miradi ya maendeleo, akisema hatua hiyo ni muhimu katika kuwawezesha kiuchumi na kuongeza ushiriki wa wananchi katika utekelezaji wa miradi ya serikali.

“Mikataba hii inalenga kuboresha hali ya barabara zetu hasa katika msimu wa mvua, ili kuhakikisha usalama na kurahisisha shughuli za usafiri na uchumi katika Mkoa wa Katavi,” amesema RC Mrindoko.

Aidha, ametoa wito kwa TARURA kuhakikisha miradi yote inatekelezwa kwa ubora, uwazi na thamani ya fedha, huku akiwataka wakandarasi kutotekeleza miradi kwa mazoea bali kwa weledi na uadilifu.

Vilevile, RC Mrindoko amewataka wakandarasi hao kutoa ajira kwa wananchi wa Mkoa wa Katavi, hasa vijana, ili kuongeza kipato na kuchochea maendeleo ya jamii. Amesisitiza pia, Wakuu wa Wilaya washirikiane na TARURA katika kuwatambua, kuwawezesha na kuwajengea uwezo vijana na wanawake ili waweze kushiriki katika miradi midogo ya ujenzi kupitia vikundi vilivyosajiliwa kisheria.

Kwa upande wake, Meneja wa TARURA Mkoa wa Katavi, Mhandisi Innocent Mlay, amesema mikataba hiyo inatekelezwa katika halmashauri za Tanganyika, Mpanda Manispaa, Nsimbo, Mpimbwe na Mlele, na inafadhiliwa kupitia Mfuko wa Matengenezo ya Barabara (Road Fund).

Mhandisi Mlay ameongeza kuwa TARURA itaendelea kusimamia kwa karibu utekelezaji wa miradi hiyo ili kuhakikisha barabara zinapitika muda wote na zinachangia katika kuimarisha shughuli za kiuchumi mkoani Katavi.

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
RC MRINDOKO ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MIKATABA YA MATENGENEZO YA BARABARA YENYE THAMANI YA BILIONI 1.6

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

Почему Ленин отдал Арарат Турции? Ленин поставил не на тех…. Кремль, Ататюрк и гора раздора.

Почему Ленин отдал Арарат Турции? Ленин поставил не на тех…. Кремль, Ататюрк и гора раздора.

RC MRINDOKO AKABIDHI OFISI YA MACHINGA NA MAAFISA USAFIRISHAJI.

RC MRINDOKO AKABIDHI OFISI YA MACHINGA NA MAAFISA USAFIRISHAJI.

MKOA WA KATAVI WAZINDUA MRADI WA KULINDA IKOLOJIA

MKOA WA KATAVI WAZINDUA MRADI WA KULINDA IKOLOJIA

MWENGE WA UHURU KATAVI 2025: RC MRINDOKO ATOA WITO WA UMOJA NA USHIRIKI MKUBWA KWA WANANCHI.

MWENGE WA UHURU KATAVI 2025: RC MRINDOKO ATOA WITO WA UMOJA NA USHIRIKI MKUBWA KWA WANANCHI.

SERIKALI YAKAGUA MASOKO KATAVI, YASISITIZA USAFI NA BEI STAHIKI ZA BIDHAA.

SERIKALI YAKAGUA MASOKO KATAVI, YASISITIZA USAFI NA BEI STAHIKI ZA BIDHAA.

Почки скажут вам: всего 1 стакан перед сном и ночные походы в туалет исчезнут | ПАМЯТЬ И МОЗГ

Почки скажут вам: всего 1 стакан перед сном и ночные походы в туалет исчезнут | ПАМЯТЬ И МОЗГ

RC MRINDOKO AWAOMBA WANANCHI KUENDELEA NA SHUGHULI ZAO KAMA KAWAIDA, ASEMA MKOA WA KATAVI UKO SALAMA

RC MRINDOKO AWAOMBA WANANCHI KUENDELEA NA SHUGHULI ZAO KAMA KAWAIDA, ASEMA MKOA WA KATAVI UKO SALAMA

MiriamChirwa - Naenda ( Official Music Video )

MiriamChirwa - Naenda ( Official Music Video )

RC MRINDOKO AKABIDHI HUNDI YA SHILINGI BILIONI 1.7 KWA WANANCHI WALIOPISHA ENEO LA UPANUZI WA CHUO.

RC MRINDOKO AKABIDHI HUNDI YA SHILINGI BILIONI 1.7 KWA WANANCHI WALIOPISHA ENEO LA UPANUZI WA CHUO.

NIDA: YARIDHIKA NA MAANDALIZI YA ZOEZI LA USAJILI VITAMBULISHO K/ BUYUNI

NIDA: YARIDHIKA NA MAANDALIZI YA ZOEZI LA USAJILI VITAMBULISHO K/ BUYUNI

Почему зарядка после 60 ускоряет потерю мышц? Парадокс сардинских долгожителей | ЗДОРОВЬЕ ДАРОМ

Почему зарядка после 60 ускоряет потерю мышц? Парадокс сардинских долгожителей | ЗДОРОВЬЕ ДАРОМ

RC MRINDOKO AKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA H/W YA TANGANYIKA.

RC MRINDOKO AKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA H/W YA TANGANYIKA.

'FANYENI SHUGHULI MLIZOKUSUDIA-DC BUSWELU

'FANYENI SHUGHULI MLIZOKUSUDIA-DC BUSWELU

MAAFISA MAENDELEO YA JAMII KATAVI WAPEWA NGUVU MPYA KUFUNGUA FURSA ZA ZABUNI KWA MAKUNDI MAALUM

MAAFISA MAENDELEO YA JAMII KATAVI WAPEWA NGUVU MPYA KUFUNGUA FURSA ZA ZABUNI KWA MAKUNDI MAALUM

WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO WASISITIZWA USHIRIKIANO NA KULINDA AMANI

WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO WASISITIZWA USHIRIKIANO NA KULINDA AMANI

Просыпаетесь в 3 ночи? Это не возраст — правда врачей | БАБУШКИНЫ РЕЦЕПТЫ

Просыпаетесь в 3 ночи? Это не возраст — правда врачей | БАБУШКИНЫ РЕЦЕПТЫ

MAFANIKIO YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOSA (PART 1)

MAFANIKIO YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOSA (PART 1)

RC MRINDOKO ASHIRIKI NGUVU KAZI JUENZI WA SHULE MPYA

RC MRINDOKO ASHIRIKI NGUVU KAZI JUENZI WA SHULE MPYA

Почему «хороших» людей не уважают? Сделайте это, и вас зауважает даже самый гордый!

Почему «хороших» людей не уважают? Сделайте это, и вас зауважает даже самый гордый!

Почему союз НЕ ВЗЯЛ эти 3 страны? Сталин сказал «НЕТ»

Почему союз НЕ ВЗЯЛ эти 3 страны? Сталин сказал «НЕТ»

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]