"Serikali imejiandaa kupambana na vurugu December 9" Rais Samia
Автор: BBC News Swahili
Загружено: 2025-12-02
Просмотров: 17251
Описание:
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametetea hatua zilizochukuliwa na vyombo vya ulinzi na usalama wakati wa machafuko ya Oktoba 29, siku ambayo maandamano na mapambano baina ya waandamanaji na Polisi yaliripotiwa kusababisha vifo na majeruhi katika maeneo kadhaa nchini humo.
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: