ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

Mkataba wa aina yake wa kimataifa wa kuhifadhi viumbe hai baharini kuanza kutekelezwa

Автор: Habari za UN

Загружено: 2026-01-15

Просмотров: 46

Описание: #HabarizaUN #UmojawaMataifa #Kiswahili #UNNewsKiswahili

Baada ya takriban miongo miwili ya maandalizi,hatimaye Mkataba wa Kimataifa wa kulinda viumbe hai wa baharini kwenye Bahari Kuu, BBNJ unaanza kutumika tarehe 17 mwezi huu wa Januari. Hii ni baada ya mataifa 81 kati ya 140 yaliyotia saini mkataba huo, kuuridhia. Mkataba unawezesha usimamizi wa pamoja wa eneo la Bahari Kuu, ambako rasilimali zake ni pamoja na samaki na dutu za kijenetiki zinazotumika kwenye dawa, vitu ambavyo havipatikani kwenye eneo la baharí lililo kwenye mamlaka ya nchi moja moja. Sasa kuanza kutumika mkataba huo kuna maana gani? Assumpta Massoi wa Idhaa hii amezungumza na Mzee Ali Haji, Naibu Katibu Mkuu anayehusika na Katiba na Sheria katika Ofisi ya Rais, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar nchini Tanzania. Yeye aliongoza jopo la wataalamu wa Tanzania kwenye mjadala wa mkataba huu. Anaanza kwa kuelezea anapokea vipi hatua hii.

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
Mkataba wa aina yake wa kimataifa wa kuhifadhi viumbe hai baharini kuanza kutekelezwa

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

UN yazungumza baada ya Marekani kujitoa katika baadhi ya mashirika yake

UN yazungumza baada ya Marekani kujitoa katika baadhi ya mashirika yake

Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Paradigms kinavyotekeleza SDGs nchini Tanzania

Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Paradigms kinavyotekeleza SDGs nchini Tanzania

🔴#LIVE: SENEGAL VS MOROCCO  -  AFCON 2025 FINAL

🔴#LIVE: SENEGAL VS MOROCCO - AFCON 2025 FINAL

FRIDA AMANI: Mchechemuzi wa kwanza wa UNEP wa urejeshaji wa mfumo wa ikolojia

FRIDA AMANI: Mchechemuzi wa kwanza wa UNEP wa urejeshaji wa mfumo wa ikolojia

Stop Cham #1404 - Niebezpieczne i chamskie sytuacje na drogach

Stop Cham #1404 - Niebezpieczne i chamskie sytuacje na drogach

Sekundy od III wojny światowej - rosyjski statek pędzi wprost na USS Farragut

Sekundy od III wojny światowej - rosyjski statek pędzi wprost na USS Farragut

ILE ZARABIA STOLARZ?: Jak 17-latek rozkręcił BIZNES w garażu? | DO ROBOTY

ILE ZARABIA STOLARZ?: Jak 17-latek rozkręcił BIZNES w garażu? | DO ROBOTY

Jarida la Habari za UN Januari 15, 2026

Jarida la Habari za UN Januari 15, 2026

Kinengunengu chazidi 'kupaa'

Kinengunengu chazidi 'kupaa'

Mwaka huu mpya 2026 wakazi wa Gaza wana matarajio makubwa

Mwaka huu mpya 2026 wakazi wa Gaza wana matarajio makubwa

🔴#LIVE :  SENEGAL  VS   MOROCCO      || FAINALI AFCON 2025

🔴#LIVE : SENEGAL VS MOROCCO || FAINALI AFCON 2025

HABARI ZA UN TAREHE 06 JANUARI 2026

HABARI ZA UN TAREHE 06 JANUARI 2026

Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Paradigms kinavyosongesha SDGs kupitia takataka

Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Paradigms kinavyosongesha SDGs kupitia takataka

Ufafanuzi: Kwa nini AI ni Akili Mnemba

Ufafanuzi: Kwa nini AI ni Akili Mnemba

PRZYMUS WIARY. Co groziło w Polsce za nieobecność na niedzielnej mszy świętej?

PRZYMUS WIARY. Co groziło w Polsce za nieobecność na niedzielnej mszy świętej?

Wakazi Morogoro watakiwa kujitokeza kwenye mashindano ya michezo ya Majeshi.

Wakazi Morogoro watakiwa kujitokeza kwenye mashindano ya michezo ya Majeshi.

Salamu na maoni ya baadhi ya radio na televisheni washirika wetu kuelekea mwaka mpya 2026

Salamu na maoni ya baadhi ya radio na televisheni washirika wetu kuelekea mwaka mpya 2026

LIVE: SENEGAL ( 0 ) VS ( 0 ) MOROCCO FAINALI AFCON 2025

LIVE: SENEGAL ( 0 ) VS ( 0 ) MOROCCO FAINALI AFCON 2025

PROTEST TYSIĘCY GRENLANDCZYKÓW. KANAŁ ZERO NA MANIFESTACJI W NUUK

PROTEST TYSIĘCY GRENLANDCZYKÓW. KANAŁ ZERO NA MANIFESTACJI W NUUK

BAWOLE ECHO:

BAWOLE ECHO: "Tony śniegu spadną na Polskę. Meteorolodzy: to będzie uderzenie 10-lecia"

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]