Mwaka huu mpya 2026 wakazi wa Gaza wana matarajio makubwa
Автор: Habari za UN
Загружено: 2026-01-13
Просмотров: 26
Описание:
#HabarizaUN #UmojawaMataifa #Kiswahili #UNNewsKiswahili
Mwaka mpya unapoanza, wakazi wa Ukanda wa Gaza eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israel wanaendelea kukabiliwa na hali ngumu ya maisha katika kambi za wakimbizi na katika makazi ambayo ni magofu na vifusi vya nyumba zilizoharibiwa wakati wa vita baina ya Jeshi la Israel na Wanamgambo wa Hamas. Wananchi hao wanasalia kuwa na sintofahamu kubwa kuhusu mustakabali wa maisha yao baada ya miezi kadhaa ya vita na uharibifu. Lakini wananchi hawa wana matumaini gani kwa mwaka huu mpya wa 2026? Tuungane na Leah Mushi aliyetuandalia mada hii kwa kina.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: