ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

Wakazi Morogoro watakiwa kujitokeza kwenye mashindano ya michezo ya Majeshi.

Автор: RS MOROGORO

Загружено: 2024-09-05

Просмотров: 1985

Описание: Wakazi Morogoro watakiwa kujitokeza kwenye mashindano ya michezo ya Majeshi.

Wakazi wa Manispaa ya Morogoro na maeneo jirani wametakiwa kujitokeza na kuona Michezo ya Majeshi Tanzania  inayoanza kutimua vumbi Septemba 6 hadi 15,  2024, katika viwanja mbalinbali vilivyoko katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.

Wito huo umetolewa leo Septemba 5, 2024 na Mwenyekiti wa BAMMATA Brigedia Jeneral Saidi Hamisi  Saidi wakati akiongea na waandishi wa habari kutoa taarifa rasmi ya mashindano hayo kufanyika Mkoani Morogoro.

Aidha, Brigedia Jenerali Saidi Hamisi Saidi amebainisha kuwa mgeni rasmi atakayezindua mashindano ya michezo hiyo ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ambaye tayari amekwisha wasili Mkoani Morogoro.

Akifafanua zaidi, Brigedia Janeral Saidi amesema mashindano hayo yanashirikisha na kuyakutanisha majeshi ya kanda saba ambazo ni Ngome, (JWTZ) Magereza, Uhamiaji, Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Zimamoto na Uokoaji, Polisi,  pamoja na Idara Maalum za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Akitoa wito kwa wananchi Kiongozi huyo amesema mashindano hayo hayatahusisha kiingilio chochote katika viwanja vya michezo vilivyoandaliwa ambapo ni viwanja vya Chuo Kikuu cha Kilimo (SUA), viwanja Umwema JKT, na viwanja vya Jamhuri, hivyo amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kuangalia na kufurahia burudani za michezo ya majeahi yao ambayo ni pamoja na mpira wa miguu, mpira wa pete, mchezo wa masumbwi, mpira wa wavu, mpira wa mikono, kurusha mkuki, kulenga shabaha, riadha na mchezo wa vishale.

"... Nichukue fursa hii niwakaribishe wananchi katika viwanja vyote tulivyo vitangaza isipokuwa kiwanja maalum kwa mchezo wa shabaha, viwanja vingine wananchi wanakaribishwa kwa wingi kabisa ili kuja kuona burudani mbalimbali.." amesisitiza Brigedia Jeneral Saidi.

Akieleza matarajio yake, Brigedia Jeneral Saidi amesema, baada ya kumalizika mashindano hayo anaamini watakuwa na timu bora itakayoweza kushiriki mashindano mbalimbali, lakini pia watakuwa wameboresha Afya za washiriki, kuimarisha umoja na mshikamano baina ya majeshi katika utendaji kazi wao.

MWISHO.

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
Wakazi Morogoro watakiwa kujitokeza kwenye mashindano ya michezo ya Majeshi.

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

RUBANI MDOGO MTANZANIA ANAYERUSHA NDEGE AFUNGUKA CHANGAMOTO ALIZOKUTANA NAZO AFRIKA KUSINI

RUBANI MDOGO MTANZANIA ANAYERUSHA NDEGE AFUNGUKA CHANGAMOTO ALIZOKUTANA NAZO AFRIKA KUSINI

⚡️ США объявили войну ЕС || РФ экстренно стягивает войска

⚡️ США объявили войну ЕС || РФ экстренно стягивает войска

Generali Venance Mabeyo amuaga Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Avitaka vyombo vya Ulinzi Kushirikiana.

Generali Venance Mabeyo amuaga Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Avitaka vyombo vya Ulinzi Kushirikiana.

MECZ - ABSURD! ODWOŁANE BRAMKI, SŁUPKI, POPRZECZKI I SZALONE PARADY! SOCIEDAD - BARCELONA, SKRÓT

MECZ - ABSURD! ODWOŁANE BRAMKI, SŁUPKI, POPRZECZKI I SZALONE PARADY! SOCIEDAD - BARCELONA, SKRÓT

VPN скоро запретят? Мобилизация: секреты Реестра воинского учёта. Телефоны россиян добавят в базу

VPN скоро запретят? Мобилизация: секреты Реестра воинского учёта. Телефоны россиян добавят в базу

JOHN MALECELA ALIVYOPONEA CHUPUCHUPU MBELE YA IDDI AMIN | TUJIKUMBUSHE..

JOHN MALECELA ALIVYOPONEA CHUPUCHUPU MBELE YA IDDI AMIN | TUJIKUMBUSHE..

Заявление о победе в войне / Путин выступил с обращением

Заявление о победе в войне / Путин выступил с обращением

MEYA MPYA MANISPAA APONGEZWA KWA KUAMINIWA NA BARAZA

MEYA MPYA MANISPAA APONGEZWA KWA KUAMINIWA NA BARAZA

💥БОБИРЕНКО: Сейф Тимошенко ШОКИРОВАЛ НАБУ! Подробности громкого дела о ПОДКУПЕ ДЕПУТАТОВ

💥БОБИРЕНКО: Сейф Тимошенко ШОКИРОВАЛ НАБУ! Подробности громкого дела о ПОДКУПЕ ДЕПУТАТОВ

NAIBU WAZIRI WA MICHEZO NA UTAMADUNI AYASHAURI MAJESHI.

NAIBU WAZIRI WA MICHEZO NA UTAMADUNI AYASHAURI MAJESHI.

SITOWAVUMILIA WATENDAJI WAZEMBE KAZINI – DKT. BASHIRU

SITOWAVUMILIA WATENDAJI WAZEMBE KAZINI – DKT. BASHIRU

Она посмеялась над русским Спецназом – Чем закончился поединок на ножах с инструктором ССО?

Она посмеялась над русским Спецназом – Чем закончился поединок на ножах с инструктором ССО?

Кремль отдает Мариуполь Кадырову – в Чечню вывозят все ресурсы города | Демченко

Кремль отдает Мариуполь Кадырову – в Чечню вывозят все ресурсы города | Демченко

JAJI MKUU ACHOMOA BETRI MBELE YA RAIS SAMIA KUHUSU WAKUU WA MIKOA NA WILAYA

JAJI MKUU ACHOMOA BETRI MBELE YA RAIS SAMIA KUHUSU WAKUU WA MIKOA NA WILAYA

10 EKSTREMALNYCH zdarzeń w ZSRR

10 EKSTREMALNYCH zdarzeń w ZSRR

KIONGOZI WA M23 ALIVOJIBU, TUNAPAMBANIA NCHI YETU, RWANDA HAITUSAIDII, JESHI LA DRC LINATUUZIA SILAA

KIONGOZI WA M23 ALIVOJIBU, TUNAPAMBANIA NCHI YETU, RWANDA HAITUSAIDII, JESHI LA DRC LINATUUZIA SILAA

Самый БОГАТЫЙ Армянин в ИСТОРИИ, его уважали РОТШИЛЬДЫ. Вся ПРАВДА об «Армянском Нефтяном Короле».

Самый БОГАТЫЙ Армянин в ИСТОРИИ, его уважали РОТШИЛЬДЫ. Вся ПРАВДА об «Армянском Нефтяном Короле».

Ofisi ya Taifa ya Takwimu yawa mfano wa utendaji kazi bora, RC Malima awapongeza

Ofisi ya Taifa ya Takwimu yawa mfano wa utendaji kazi bora, RC Malima awapongeza

HECHE предотвращает заключение LISSU под стражу и получает выгоду от заключения LISSU под стражу.

HECHE предотвращает заключение LISSU под стражу и получает выгоду от заключения LISSU под стражу.

Почки скажут вам: всего 1 стакан перед сном и ночные походы в туалет исчезнут | ПАМЯТЬ И МОЗГ

Почки скажут вам: всего 1 стакан перед сном и ночные походы в туалет исчезнут | ПАМЯТЬ И МОЗГ

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]