KANOGE WAMENOGA NA MAJI SAFI NA SALAMA.
Автор: Bugoma TV
Загружено: 2025-09-25
Просмотров: 199
Описание:
KATAVI: Wakazi wa kijiji cha Kanoge namba 1 kilichopo halimashauri ya Nsimbo mkoani Katavi wameondoka na na adha ya miaka mingi ya kutopata maji safi na salama ambapo mbio za mwenye wa uhuru 2025 zimefika katika kijiji hicho huku ikidaiwa ni kwa mara ya kwanza mwenge wa uhuru kufika katika kijiji hicho ambapo kiongozi wa mbio za mwenge wws uhuru kitaifa Ismail Ali USSI amezindua mradi wa maji na kuwataka wananchi wa maeneo hayo kuulinda na kuthamini mradi huo.
Kiongozi wa mbio za mwenye wa uhuru kitaifa Ismail Ali Ussi amesema moja ya kazi za mbio za mwenye wa uhuru. It kupeleka matumaini kwa wananchi huku akisisitiza miradi wa maji kutunzwa ipasavyo.
Wakala wa maji safi na salama na usafi wa mazingira (RUWASA) kupitia kwa mhandisi Magdalena Mkelemi amesema miradi huo wa maji utanufaisha zaidi ya wananchi elfu saba.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: