WAKULIMA NA WAFUGAJI WAUWANA- WALIOUA WASAKWA
Автор: KUSINI YETU ONLINETV
Загружено: 2023-09-28
Просмотров: 329
Описание:
Mkuu wa wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi Mhe. Mohammed Moyo amewataka watu wote waliohusika katika kupanga na kutekeleza tukio la mauaji ya wafugaji wawili na mkulima mmoja kujitokeza na kujisalimisha katika vyombo vya ulinzi na usalama kabla ya kufanyika kwa msako mkali wa kuwabaini watu hao na kuwachukulia sheria.
Moyo amesema hayo wakati anazungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Tinginya wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, uliowakutanisha wakuu wa wilaya ya wilaya hizo mbili.
Moyo amesema wafugaji walio uwawa ni kutoka katika kijiji cha Matekwe wilayani Nachingwea na wanakijiji wa Tinginya wilaya ya Tunduru ndiyo wanaotuhumiwa kwa kutekeleza mauaji hayo kwa sababu tukio hilo limetokea baada ya mkulima mmoja kuuwawa na wafugaji kwa kuchomwa na mshale ubavuni.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: