Upinzani waelezea wasiwasi wao kuhusu utayari wa IEBC
Автор: KBC Channel 1
Загружено: 2026-02-01
Просмотров: 918
Описание:
Upinzani umeendeleza ukosoaji wake kwa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka na sasa unatoa wito wa kufanyiwa marekebisho teknolojia ya uchaguzi kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Viongozi wa upinzani wanasisitiza kwamba, ingawa wataipa IEBC muda wa kushughulikia masuala muhimu wanayohisi kuwa hayako sawa,tume hiyo nayo hainabudi kuwajibika kwa ajili ya kufanikisha maandalizi ya uchaguzi huru,haki na kuaminika. Wakizungumza wakati wa ibada ya jumapili huko Mathioya, kaunti ya Murang’a, hao walisema kuwa wana imani wana kura za kutosha kumshinda Rais William Ruto, ambaye anatafuta kuchaguliwa tena.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: / kbcchannel1tv
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: