CCM Waibuka na Suala Katiba Mpya Kwenye Ilani Yao ya Uchaguzi 2025/2030
Автор: The Chanzo
Загружено: 2025-05-30
Просмотров: 3892
Описание:
Mwenyekiti wa kamati ya kuandaa ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi, Profesa Kitila Mkumbo, amesema kuwa kwa mwaka 2025/2030 chama kitaielekeza Serikali kuhuisha na kukamilisha mchakato wa Katiba Mpya.
Kitila ameyasema hayo leo Mei 30, 2025, wakati akizungumza kwenye mkutano mkuu maalum wa chama hicho, jijini Dodoma.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: