Walinda amani wanawake wa UN kutoka Tanzania wanavyosongesha haki nchini DRC
Автор: Habari za UN
Загружено: 2026-03-05
Просмотров: 5825
Описание:
#HabarizaUN #UmojawaMataifa #Kiswahili #UNNewsKiswahili #Tanzania #drc #jwtz #monusco #tanzqrf05
Wakati dunia ikielekea kuadhimisha siku ya wanawake tarehe 08 Machi mwaka huu, tuelekee huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, (DRC) ambako walinda amani wanawake wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania nao ni sehemu ya wanajeshi wanaotekeleza jukumu la ulinzi wa amani, na katika mada hii kwa kina tunamulika ni kwa vipi ushiriki wao umekuwa sehemu ya ufunguo wa mafanikio ya jukumu la Ulinzi wa Amani na usalama la Umoja wa Mataifa jimboni Kivu Kaskazini, Mashariki mwa taifa hilo la Maziwa Makuu. Afisa Habari wa Kikosi cha msaada wa haraka cha Tano cha Tanzania (TANZQRF-05) kinachohudumu chini
ya ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO, Kapteni Ally Ituja amefuatilia mchango wao na kuandaa mada hii kwa kina inayowasilishwa na Praiveti Habib Shaban.
Pata taarifa ya habari, makala, habari kwa picha , mahojiano na matukio kuhusu masuala ya kibinadamu, SDGs na mengine mengi kutoka Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa. Ni "Habari za UN" kutoka makao makuu ya UN New York City.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: