Mlezi wa CCM Tanga aahidi kumaliza mgogoro wa mpaka Kilindi na Kiteto
Автор: Azam TV
Загружено: 2023-10-12
Просмотров: 786
Описание: Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa ambaye pia ni mlezi wa chama hicho mkoani Tanga, Hemed Suleiman Abdulla amewataka wananchi wa wilaya hizo kuwa watulivu kwani mpaka uliopo kati ya wilaya za Kiteto na Kilindi upo wazi na kinachokosekana ni alama za utambuzi ambazo serikali itaziweka hivi karibuni ili kuondoa mgogoro huo.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: