20 washikiliwa na POLISI mauaji ya wakulima na wafugaji TANGA
Автор: Mwananchi Digital
Загружено: 2022-01-31
Просмотров: 17397
Описание:
Jeshi la Polisi limesema linawashikilia zaidi ya watu 20 ,kutokana na mapigano ya wakulima na wafugaji yaliyotokea Januari 30 katika kata ya Kibirashi wilayani Kilindi mkoani Tanga na kusababisha vifo vya watu sita.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro aametoa kauli hiyo wakati akizungumza na wananchi wa kijiji cha Elerai wilayani Kilindi wakati akiwa kwenye ziara ya kufuatilia tukio la mapigano ya wakulima na wafugaji yaliofanyika vijiji vya Elerai,Kibirashi na Ngaroni na kusema kuwa,watu zaidi ya 20 wanashikiliwa na jeshi hilo huku juhudi za kuwasaka waliohusika zikiendelea.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: