Waziri wa Muungano amtembelea Makamu wa Rais Zanzibar
Автор: Weyani Tv
Загружено: 2020-12-22
Просмотров: 37179
Описание: Waziri mwenye dhamana ya Muungano kwenye serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ummy Mwalimu, amemtembea leo Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, nyumbani kwake Chukwani, kando kidogo ya kitovu cha mji mkuu wa Zanzibar, kwa lengo la kujitambulisha. Wawili hao wamezungumzia masuala mbalimbali yanayohusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kuahidi kushirikiana kuyafanyia kazi yale ambayo yanahitaji kupatiwa ufumbuzi.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: