ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

JAMAA AMRUSHIA NENO OMO - TUTAFUTIENI NCHI TWENDE

Автор: ZANZIBAR YETU

Загружено: 2025-09-28

Просмотров: 26562

Описание: Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, Jumapili ya leo (Septemba 28, 2025), ameitembelea bandari ya uvuvi na sehemu ya kuanikia dagaa ya Mchangani Pwani na Mangapwani Maotwe, katika shehia ya Mangapwani, Kaskazini B Unguja, kwa lengo la kujionea mwenendo wa shughuli na kuzungumza na wavuvi na wajasiriamali wa eneo hilo.

Ziara hiyo ambayo imejumuisha pia kusikiliza changamoto zao, ni muendelezo wake wa kukutana na makundi mbalimbali kwa lengo la kubadilishana mawazo na kuomba ridhaa yao ya kuwa Rais wa Zanzibar kupitia Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Wakizungumzia changamoto wanazokutana nazo hapo, Bw. Ramadhan Hassan Ramadhan, Bw. Salim Ali Khalfan na Bi Sauda Suleiman, wamesema wanakabiliwa na changamoto za mikopo yenye masharti makubwa, ambayo inawapa ugumu katika kufanikisha shughuli zao.

"Mheshimiwa hii ndio sehemu yetu ya kujipatia rizki, hapa kuna familia nyingi zinazotegemea eneo hili, lakini tumeshapewa taarifa ya kutaka kuhamishwa tukiambiwa eneo linataka kufanyiwa shughuli nyengine, na ukweli hatujui khatma ya maisha yetu". Wameelezea wajasiriamali hao.

Changamoto nyengine ambazo wameziwasilisha wavuvi na wajasiriamali hao mbele ya Mgombea, ni pamoja na kusumbuliwa na mamlaka za bahari wanapoingia Tanzania Bara, wakiambiwa leseni zao za uvuvi haziwezi kufanya kazi huko; uchache wa miundombinu ya vyoo na ukosefu wa maji safi na salama katika eneo hilo, ambalo ni jambo la muhimu ili kujiepusha na maradhi ya miripuko.

Nyengine ni kutokuwapata na kusikilizwa na viongozi wa nchi, hasa wanapowahitaji kuwaeleza changamoto zao; pamoja na kuchukuliwa ardhi zao za kilimo na kutumika kwa shughuli nyengine bila taratibu nzuri kupita.

Kwa upande wake, Mgombea huyo amesema Dhamira yake ni kulitumia vyema soko la mazao ya baharini ikiwemo dagaa kuwa soko kubwa Zanzibar.

Mgombea huyo amesema hio ni Fursa kubwa ya kiuchumi ambayo inahitaji uwezeshwaji wa Serikali ili kufikia matarajio.

Akieleza mipango yake ya uwezeshaji amesema "Kwanza tutaandaa mazingira bora ya uandaaji wa dagaa, tutatoa elimu juu ya kufanya bidhaa hii iwe bora na yenye kuwa na thamani ya kuingia katika soko la kimataifa, pamoja na uwezeshaji wa vifaa vya kisasa vya kufanikisha uandaaji mpaka kufika sokoni".

Aidha amesema Serikali yake itaifanya hio kuwa sekta rasmi ya kiuchumi na sio kimbilio la waliokosa ajira. "Tutawawezesha wajasiriamali hawa pamoja na kuandaa Hadhi ya dagaa la Zanzibar".


Othman ameitumia fursa hio kuomba ridhaa ya wananchi akisema hayo yote yatawezekana akiongoza Nchi hii.

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
JAMAA AMRUSHIA NENO OMO - TUTAFUTIENI NCHI TWENDE

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

OMO NI KIONGOZI WA WATU SIO KITI

OMO NI KIONGOZI WA WATU SIO KITI

Salamu za OMO zamvunja mbavu Rais Samia Suluhu leo kwenye uzinduzi wa nembo ya Sensa Zanzibar

Salamu za OMO zamvunja mbavu Rais Samia Suluhu leo kwenye uzinduzi wa nembo ya Sensa Zanzibar

STRZAŁ ŻYCIA POGRZEBAŁ KRÓLEWSKICH! GWIZDY, NIEMOC I DWIE CZERWONE, KONIEC WALKI O TYTUŁ?

STRZAŁ ŻYCIA POGRZEBAŁ KRÓLEWSKICH! GWIZDY, NIEMOC I DWIE CZERWONE, KONIEC WALKI O TYTUŁ?

Это огромная ошибка Украины! Путин с Лукашенко этим воспользуются! – экс-министр Беларуси Латушко

Это огромная ошибка Украины! Путин с Лукашенко этим воспользуются! – экс-министр Беларуси Латушко

DKT. MWINYI AFANYA UAMUZI MZITO KWA CHAMA CHA ACT WAZALENDO

DKT. MWINYI AFANYA UAMUZI MZITO KWA CHAMA CHA ACT WAZALENDO

BREAKING NEWS: CCM YARIDHIA MAZUNGUMZO NA ACT

BREAKING NEWS: CCM YARIDHIA MAZUNGUMZO NA ACT

ISRAEL washambulia Ofisi ya Rais wa IRAN, Trump aiponda Uingereza kwa kutojiunga na VITA

ISRAEL washambulia Ofisi ya Rais wa IRAN, Trump aiponda Uingereza kwa kutojiunga na VITA

MWINYI ATAONDOKA KAMA ALIVYOONDOKA KARUME - HOJA YA BABU DUNI

MWINYI ATAONDOKA KAMA ALIVYOONDOKA KARUME - HOJA YA BABU DUNI

Abeid & Leyla Usiku Wa Zawadi Venue The Palm Hall Zanzibar Part 2 🎬 ⁨@firstboy⁩

Abeid & Leyla Usiku Wa Zawadi Venue The Palm Hall Zanzibar Part 2 🎬 ⁨@firstboy⁩

MZEE AMWAMBIA RAIS MWINYI UOVU WA ZANZIBAR BILA KUOGOPA.

MZEE AMWAMBIA RAIS MWINYI UOVU WA ZANZIBAR BILA KUOGOPA.

Узбеки и Таджики: почему ДНК-тест напугал историков?

Узбеки и Таджики: почему ДНК-тест напугал историков?

KESI ZOTE KUANZA KUSIKILIZWA KWA NJIA YA MTANDAO ZANZIBAR

KESI ZOTE KUANZA KUSIKILIZWA KWA NJIA YA MTANDAO ZANZIBAR

OMO AMJIBU MAJURA MIMI NI MSHAURI ILA SISHAURIWI

OMO AMJIBU MAJURA MIMI NI MSHAURI ILA SISHAURIWI

OMO apokewa Pemba kwa taadhima | GUMZO LA LEO

OMO apokewa Pemba kwa taadhima | GUMZO LA LEO

WAGANGA 10 WA JADI WATUA KIGOMA KUPAMBANA NA UCHAWI SUGU

WAGANGA 10 WA JADI WATUA KIGOMA KUPAMBANA NA UCHAWI SUGU

Жириновский: остатки Ирана и Турции войдут в состав России! Воскресный вечер с Соловьевым. 13.05.18

Жириновский: остатки Ирана и Турции войдут в состав России! Воскресный вечер с Соловьевым. 13.05.18

Zanzibar maeneo ya Potoa Kivunge Mkokotoni Mahonda Kitope Mfenesini @discoverzanzibar

Zanzibar maeneo ya Potoa Kivunge Mkokotoni Mahonda Kitope Mfenesini @discoverzanzibar

NAIBU WAZIRI WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI ZANZIBAR  AKAGUA BARABARA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA

NAIBU WAZIRI WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI ZANZIBAR AKAGUA BARABARA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA

MAMA WA BIHARUSI amwaga machozi hadharani kisa ndoa kuvunjika mume mfupi.

MAMA WA BIHARUSI amwaga machozi hadharani kisa ndoa kuvunjika mume mfupi.

UZINDUZI MELI MPYA YA IKRAAM WETE PEMBA #RAIS WA ZANZIBAR Dr. HUSEIN MWINYI #tiznet Infinity Studio

UZINDUZI MELI MPYA YA IKRAAM WETE PEMBA #RAIS WA ZANZIBAR Dr. HUSEIN MWINYI #tiznet Infinity Studio

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]