Salamu za OMO zamvunja mbavu Rais Samia Suluhu leo kwenye uzinduzi wa nembo ya Sensa Zanzibar
Автор: Weyani Tv
Загружено: 2022-04-08
Просмотров: 45129
Описание:
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mheshimiwa Othman Masoud Othman, Leo Aprili 08 amejumuika na viongozi mbalimbali katika Uzinduzi wa Nembo na Tarehe ya Sensa ya watu na Makazi ya Mwaka 2022.
Uzinduzi huo uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa ndege Zanzibar, umeongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Aidha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amehudhuria katika Hafla hiyo
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: