Askari Wapya 231 wa Jeshi la Uhifadhi wapewa Ajira Wote
Автор: Site Tv Online
Загружено: 2023-04-26
Просмотров: 2269
Описание:
Waziri wa Maliasili na Utalii MH.Mohamed Omary Mchengerwa Amefunga Mafunzo ya Jeshi la Uhifadhi kwa Askari wapya 231 katika Kambi ya Mlele Mkoani Katavi tarehe 26April2023, na Wote wamepatiwa barua ya Ajira moja kwa moja na kuripoti kwenye Vituo vyao vya Kazi.
Wakati akifunga Mafunzo hayo Waziri Mchengerwa amemshukuru Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuridhia Kuwaajiri wahitimu hao wote kwa pamoja.
Hivyo Waziri Mchengerwa amewataka wahitimu wote kwenda kulitumikia Taifa lao kwa Uwadilifu mkubwa, Uzalendo, kutanguliza Maslahi ya Nchi mbele, kuepuka Rushwa, kufuata Sheria ili kulinda Rasilimali za Taifa WanyamaPori na Misitu kwa manufaa ya Kizazi Cha leo na Kizazi Kijacho.
SiteNews.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: