Ghasia za uchaguzi mdogo | Mtu ajeruhiwa Embu, mmoja akamatwa Kakamega
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2026-02-26
Просмотров: 1639
Описание: Mtu mmoja amejeruhiwa na mali kuharibiwa kufuatia ghasia zilizozua kwenye uchaguzi mdogo wa wa wadi ya Evurore kaunti ya Embu. Katika taharuki hiyo, mwathiriwa amedai kufumaniwa na wafuasi wa mgombea mmoja katika hali tata. Vile vile, mtu mmoja alikamatwa kaunti ya Kakamega kwa madai ya kujaribu kuvuruga uchaguzi mdogo wa wadi ya West Kabras eneobunge la Malava.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: