Mvua kubwa Nairobi yalazimisha wakazi kuhama, nyumba zajaa maji taka
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2026-02-25
Просмотров: 15090
Описание: Athari za mvua kubwa iliyoshuhudiwa sehemu nyingi za nairobi usiku wa kuamkia leo zimesababisha baadhi ya wakazi kuhama makao yao. Katika mtaa wa tena eneo la umoja, baadhi ya nyumba zilijaa maji taka baada ya mabomba kukatika kutokana na mvua hiyo.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: