Askari zaidi ya 150 kuongeza nguvu kukabili wanyama wakali na waharibifu
Автор: UTV Tanzania
Загружено: 2024-03-18
Просмотров: 942
Описание:
Katika kuhakikisha wananchi wanaondokana na changamoto ya wanyamapori wakali na waharibifu , Wizara ya Maliasili na Utalii inaendeleza mikakati yake kwa kutoa mafunzo kwa askari wa uhifadhi na vijiji ili kukabiliana na changamoto hiyo.
Wizara hiyo kupitia Taasisi ya Wanyamapori Tanzania (TAWA) kwa kuwezesha na Taasisi isio yakiserikaki ya Frankfurt Zoological Society, imewapeleka askari wa wanyamapori na wanavijiji kupata mafunzo katika Chuo Cha Uhifadhi wa Vijiji kwa Jamii.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: