HUU HAPA MWENENDO WA BARABARA YA LIWALE TO MOROGORO
Автор: COM MEDIA
Загружено: 2022-03-24
Просмотров: 3475
Описание:
Mwenendo wa ujenzi wa barabara ya inayoanza njia panda ya kijiji cha Napata wilayani Liwale mkoani Lindi mpaka Mkangira kwenye makutano ya moto ambao unatenganisha wilaya ya Liwale na mkoani Morogoro ambayo kwa hatua ya kwanza itagharimu zaidi ya shilingi milioni 700 kwa kazi ya uchongaji na ukataji miti fedha hizo zilizotokana na UVICO 19.
Hayo yamebainishwa na mkuu wa wilaya ya Liwale,Judith Nguli akiwa kwenye ziara kwenye ujenzi wa barabara hiyo ambayo inapita kwenye hifadhi ya Taifa ya Nyerere kusini Liwale ambapo ajionenea mwenendo wa kazi inayofanyika katika hatua ya uchongaji wa barabara wa km 130 huku mradi huo ukitarajia kukamilika ndani ya miezi 6 na umeanza februari 7 na kuishia agosti 7,2022.
Ukamilikaji wa barabara hiyo itafungua wilaya ya Liwale na mkoa wa Morogoro huku itasaidia katika kuhakikisha zoezi la dori kwenye hifadhi ya Taifa ya Nyerere.
KARIBU COM TV , Television ya Mtandaoni ambayo imejidhatiti katika kuakikisha unapata habari ,Matukio ,Burudani za ndani na nje ya Tanzania kwa uharaka na uwakika.
Unaweza kutupata kwenye mitandao ya kijamii kama hivi
INSTAGRAM : https://www.instagram.com/p/CPIn1ZNhB...
#COM TV #Comtv #Com Tv #LINDI #Tanzania #Liwale #habari #michezo
#COM TV #Comtv #Com Tv
#COM TV, #Comtv, #Com Tv
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: