Uchambuzi chanzo cha mashambulizi ya Urusi dhidi ya Ukraine
Автор: UTV Tanzania
Загружено: 2025-08-29
Просмотров: 5173
Описание:
Urusi imeendelea kufanya mashambulizi dhidi ya Ukraine katika maeneo mbalimbali ya mji wa Kyiv, ambapo watu 23 wameuawa, huku mashambulizi hayo yakiigusa pia ofisi za kidiplomasia nchini humo.
Hayo yanajiri wakati Marekani pamoja na Umoja wa Ulaya, wakiendeleza juhudi za kidiplomasia za kusitisha vita kati ya mataifa hayo mawili.
Fuatilia uchambuzi wa Ibrahim Rahbi akiangazia kiini cha mashambulizi hayo, katikati ya juhudi za kuzima vita kati ya Urusi na Ukraine.
#azamtvupdates
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: