Rais: Matozo ya PAYE kukadiriwa upya
Автор: KBC Channel 1
Загружено: 2026-02-04
Просмотров: 555
Описание:
Rais William Ruto ameelezea mpango wa serikali wa kufufua uchumi wa taifa. Aliongea wakati wa mkutano na wawaniaji elfu 12 wa nyadhifa mbalimbali wa chama cha UDA katika ikulu ya Nairobi, rais Ruto alielezea mipango ya kulipa madeni yanayodaiwa na wakandarasi wa ujenzi wa barabara wiki hii. Rais Ruto aidha alitangaza mipango ya kuondoa matozo ya jumla ya mshahara kwa wafanyakazi wanaolipwa chini ya shilingi elfu 30 pamoja na kupunguza kiwango cha matozo hayo kwa asilimia 20 kwa wafanyakazi wanaolipwa mshahara wa chini ya shilingi elfu 50. John Jacob Kioria na taarifa kwa utendeti kutoka kwenye mkutano huo.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: / kbcchannel1tv
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: