Maafisa wa polisi wafumaniwa wakila mlungula
Автор: KBC Channel 1
Загружено: 2025-02-14
Просмотров: 27177
Описание:
Maafisa kutoka tume ya maadili na kupambana na ufisadi-EACC wamewakamata maafisa watatu wa polisi wa trafiki wanaohudumu katika mzunguko wa Globe Cinema jijini Nairobi kwa kupokea hongo kutoka kwa waendeshaji magari. Kulingana na EACC, maafisa hao kwa majina Oscar Serem Biwott, Simon Kiplagat na Edwin Benedict walifanikiwa kukusanya jumla ya shilingi 48,250 katika kipindi cha saa mbili pekee kutoka kwa madereva wa magari ya uchukuzi wa umma na waendeshaji pikipiki. Msako huo uliofanywa na makachero wa tume hiyo, uliwezesha kunaswa kwa fedha hizo na maafisa hao kutoka kituo cha polisi cha Central kukamatwa na kupelekwa katika makao makuu ya EACC ambako waliandikisha taarifa.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: / kbcchannel1tv
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: