Katika Kumjua Mungu / 1 Dec 2024 / Rev. Dr. Eliona Kimaro
Автор: Rev. Dr. Eliona Kimaro
Загружено: 2024-12-02
Просмотров: 14145
Описание:
IBADA YA JUMAPILI YA KUSIFU NA KUABUDU* 01/ 12/ 2024
UJUMBE WA LEO : "KATIKA KUMJUA MUNGU"
Yeremia 31 : 31 - 34
2 Petro 1 : 2
Hosea 6 : 3
Yeremia 31 : 31 - 34
31 Angalia, siku zinakuja, asema Bwana, nitakapofanya agano jipya na nyumba ya Israeli, na nyumba ya Yuda.
32 Si kwa mfano wa agano lile nililolifanya na baba zao, katika siku ile nilipowashika mkono, ili kuwatoa katika nchi ya Misri; ambalo agano langu hilo walilivunja, ingawa nalikuwa mume kwao, asema Bwana.
33 Bali agano hili ndilo nitakalofanya na nyumba ya Israeli, baada ya siku zile, asema Bwana; Nitatia sheria yangu ndani yao, na katika mioyo yao nitaiandika; nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
34 Wala hawatamfundisha kila mtu jirani yake, na kila mtu ndugu yake, wakisema, Mjue Bwana; kwa maana watanijua wote, tangu mtu aliye mdogo miongoni mwao hata aliye mkubwa miongoni mwao, asema Bwana; maana nitausamehe uovu wao, wala dhambi yao sitaikumbuka tena.
2 Petro 1 : 2
2 Neema na iwe kwenu na amani iongezwe katika kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu.
Hosea 6 : 3
3 Nasi na tujue, naam, tukaendelee kumjua Bwana; kutokea kwake ni yakini kama asubuhi; naye atatujilia kama mvua, kama mvua ya vuli iinyweshayo nchi.
Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: