Meli ya Unga: Watanganyika wakasirika Wazanzibari 'kuitumia vibaya bendera ya nchi yao' kuuzia unga
Автор: Weyani Tv
Загружено: 2026-02-26
Просмотров: 10843
Описание:
Tanzania imesema meli iliyokamatwa nchini El Salvador ikiwa na shehena ya dawa za kulevya huku ikipeperusha bendera ya nchi hiyo, ilisajiliwa visiwani Zanzibar.
Msemaji wa serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa amesema tayari serikali ya Zanzibar imechukua hatua kadhaa ikiwemo kufuta usajili wa meli hiyo na imeiandikia kampuni iliyotoa usajili kwa chombo hicho.
Sakata hili limezua mjadala mitandaoni huku Watanganyika wakiwatuhumu Wazanzibari luwa wanaitumia vibaya bendera yao ya Tanzania.
Video kwa hisani ya DW
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: