Mwanafunzi wa chuo cha kiufundi cha Kisii auawa na mpenziwe kwa kudungwa kisu mara kadhaa
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2023-11-10
Просмотров: 68775
Описание: Maafisa wa polisi wanaendelea na uchunguzi kufuatia kisa ambapo mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 25 ambaye ni mwanafunzi wa chuo cha mafunzo anuai cha Kisii alimuua mpenziwe wa kitambo mwenye umri wa miaka 22 kwa kumdunga visu mara kadhaa shingoni jana jioni.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: