Lyenda“Tumechokozwa" CHADEMA Yakasirishwa Lissu Kunyimwa ChakulaGrevas Lyenda
Автор: The Chanzo
Загружено: 2026-02-12
Просмотров: 8487
Описание:
Mkuu wa Idara ya Habari CHADEMA, Gervas Lyenda hii leo Februari 12, 2026 akiongea na Wanahabari nje ya Mahakama Kuu kanda ya Dar Es Salaam amesema kwa kitendo alichofanyiwa Mwenyekiti wao, Tundu Lissu leo kimewatia hasira wanachama na wapenzi wa chama hicho na kwamba CHADEMA wamechokozwa hivyo hawatakubali hali hiyo iendelee.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo 2025 © All Rights Reserved.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: