Mtanzania akamatwa kwa tuhuma za madawa ya kulevya
Автор: VOA Swahili
Загружено: 2019-02-12
Просмотров: 6661
Описание:
Mtanzania ajulikanaye kwa jina la Abdul Rahman Asman amekamatwa na madawa ya kelevya katika mji wa Bali nchini Indonesia. Madawa hayo aliyokamatwa nayo ni zaidiya kilo moja mabyo alikuwa ameyameza tumboni kwenye vifuko vya plastiki.
Originally published at - https://www.voaswahili.com/a/4783638....
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: