ALICHOFANYA MWENYEKITI RAJABU KOROGWE MOMBO SASA NI SIFA!!!!!!
Автор: CCM MKOA -TANGA TV
Загружено: 2023-08-10
Просмотров: 510
Описание:
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga Ndugu Rajabu Abrahamani Abdallah afanya ziara ya kushtukiza soko la Mombo wilaya ya Korogwe vijijini.
Mwenyekiti alipata wasaa wa kuzungumza na wanaMombo juu ya soko hilo na mahusiano yake na stendi mpya ya Mombo iliyoanza kutumika.
MNEC Rajabu aliwaagiza viongozi wa Serikali kufanya jitihada ya haraka na makusudi kukamilisha stendi hiyo na kutatua changamoto zilizopo katika soko la Mombo.
#ccmimara
#kaziiendelee
#mptv
#samiasuluhu
#nyuki
#uvccm
#wazazi
#uwt
#tunaimaninasamia
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: