ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

BASATA YATOA WITO KWA WASANII KUELEKEA TAMASHA LA 17 LA MUZIKI WA CHIGOGO CHAMWINO IKULU.

Автор: WASHINDI MEDIA

Загружено: 2026-02-27

Просмотров: 62

Описание: Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetoa wito kwa wasanii wote nchini kujirasimisha rasmi ili waweze kutambulika kisheria na kunufaika na fursa mbalimbali zinazotolewa na serikali, likisisitiza kuwa mfumo wa usajili unapatikana mtandaoni kupitia kiungo cha sanaa.go.tz.

Wito huo umetolewa leo Februari 27, 2026 katika wilaya ya Chamwino, mkoani Dodoma, na Afisa Sanaa kutoka BASATA, Angela Mhilu, wakati wa semina ya viongozi wa makundi yatakayoshiriki Tamasha la 17 la Muziki wa Chigogo litakalofanyika Julai 24–26, 2026 katika viwanja vya Kituo cha Sanaa na Utamaduni Chamwino (CAC).

Angela amesema BASATA imehudhuria semina hiyo kufuatia mwaliko wa CAC kama mdau muhimu wa sanaa nchini, kwa lengo la kutoa elimu kuhusu masuala matatu muhimu ambayo ni urasimishaji wa kazi za sanaa, uandishi wa maandiko ya miradi ya kisanaa, pamoja na mwongozo wa maadili katika utayarishaji wa kazi za sanaa.

“Ni muhimu kwa wasanii kujirasimisha ili kusaidia hata serikali yetu sikivu chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa na takwimu sahihi za wasanii,”

“Urasimishaji unarahisisha upatikanaji wa misaada ya kisheria, mikopo kupitia Mfuko wa Utamaduni, elimu ya haki miliki na fursa nyingine mbalimbali,” amesema Angela.

Ameongeza kuwa usajili ni kigezo muhimu kwa msanii kushiriki katika matamasha makubwa yakiwemo yanayoandaliwa na taasisi kama Chamwino Arts Center (CAC)

“Msanii ambaye hajajirasimisha hawezi kushiriki kikamilifu. Ni lazima jamii, nchi na taasisi zinazosimamia sanaa zikufahamu,” amesisitiza.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa CAC, Naamala Samson, amesema mafunzo hayo yameandaliwa kwa viongozi takribani 60 kutoka makundi 50 yanayotarajiwa kushiriki tamasha hilo, kwa lengo la kuwaimarisha katika masuala ya uongozi, fedha na fursa zinazopatikana kupitia COSOTA na Mfuko wa Utamaduni.

“Tumeona ni vyema kuwaandaa mapema ili watimize vigezo vya ushiriki, ikiwemo kujisajili BASATA. Pia tunawapa elimu ya matumizi sahihi ya fedha, uwekaji akiba, uwekezaji na umuhimu wa kujiunga na bima za afya ili kujikinga na majanga,” amesema Naamala.

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
BASATA YATOA WITO KWA WASANII KUELEKEA TAMASHA LA 17 LA MUZIKI WA CHIGOGO CHAMWINO IKULU.

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

How The Middle Class Became Sellouts || Dr. Muthomi Thiankolu

How The Middle Class Became Sellouts || Dr. Muthomi Thiankolu

WANANCHI WAANDAMANA DAR

WANANCHI WAANDAMANA DAR "MWAKILISHI WA RAIS ANAKESI NA SISI TUSIPEPESE MACHO HAPA"

HABARI KUBWA KUTOKA KWA WAZIRI WA ELIMU “TUTACHUJA VIZURI, TUTAHAKIKISHA UTARATIBU UNANYOOKA

HABARI KUBWA KUTOKA KWA WAZIRI WA ELIMU “TUTACHUJA VIZURI, TUTAHAKIKISHA UTARATIBU UNANYOOKA"

Что сказал Джума Локоле на свадьбе Тарика и Джиджи Мани

Что сказал Джума Локоле на свадьбе Тарика и Джиджи Мани

TAZAMA NAMNA UMO ILIVYOFANYA TUKIO KUBWA LA HURUMA NA UPENDO DODOMA

TAZAMA NAMNA UMO ILIVYOFANYA TUKIO KUBWA LA HURUMA NA UPENDO DODOMA

IRAN ITASHINDA VITA DHIDI YA ISRAEL KUPITIA VITA VYA MUDA MREFU SEHEMU YA PILI

IRAN ITASHINDA VITA DHIDI YA ISRAEL KUPITIA VITA VYA MUDA MREFU SEHEMU YA PILI

Makala Maalum ya Vijana Manispaa ya Geita

Makala Maalum ya Vijana Manispaa ya Geita

DEUS SANGU AIBUKA NA TAMKO ZITO! UFISADI WA FEDHA ZA WANACHAMA HAUPO TENA SALAMA

DEUS SANGU AIBUKA NA TAMKO ZITO! UFISADI WA FEDHA ZA WANACHAMA HAUPO TENA SALAMA

Жириновский: остатки Ирана и Турции войдут в состав России! Воскресный вечер с Соловьевым. 13.05.18

Жириновский: остатки Ирана и Турции войдут в состав России! Воскресный вечер с Соловьевым. 13.05.18

WENYE ULEMAVU SI TEGEMEZI! SERIKALI YATOA AGIZO ZITO KWA TAASISI NA VYUO.

WENYE ULEMAVU SI TEGEMEZI! SERIKALI YATOA AGIZO ZITO KWA TAASISI NA VYUO.

HABARI KUBWA KUTOKA CHAKUHAWATA!  YAFICHUA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WALIMU NCHINI.

HABARI KUBWA KUTOKA CHAKUHAWATA! YAFICHUA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WALIMU NCHINI.

«Մեծ քաղաքականություն». նոր փոդքասթ՝ Ռոբերտ Քոչարյանի մասնակցությամբ

«Մեծ քաղաքականություն». նոր փոդքասթ՝ Ռոբերտ Քոչարյանի մասնակցությամբ

HABARI KUBWA MCHANA HUU/VITA YA IRAN BADO NZITO/MAREKANI YASHAMBULIA ZAIDI...

HABARI KUBWA MCHANA HUU/VITA YA IRAN BADO NZITO/MAREKANI YASHAMBULIA ZAIDI...

SAMIA ARDHI KLINIKI YAWANUFAISHA WANAWAKE KATAVI

SAMIA ARDHI KLINIKI YAWANUFAISHA WANAWAKE KATAVI

Umma Wamkemea Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi Kama Mtoto: Samia Mashakani Naye Sasa

Umma Wamkemea Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi Kama Mtoto: Samia Mashakani Naye Sasa

MSALATO INTERNATIONAL AIRPORT - ACI AFRICA 2025 (Salama Jabir)

MSALATO INTERNATIONAL AIRPORT - ACI AFRICA 2025 (Salama Jabir)

Привет, Андрей! 100 лет Александру Зацепину!, 14.03.2026

Привет, Андрей! 100 лет Александру Зацепину!, 14.03.2026

MKUTANO WA KAMPENI WA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KATORO ENG.KIJA LIMBU NTEMI.

MKUTANO WA KAMPENI WA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KATORO ENG.KIJA LIMBU NTEMI.

MWANGA MPYA KATORO: SAFARI YA ENG. KIJA LIMBU NTEMI HADI UKUMBI WA BUNGE.

MWANGA MPYA KATORO: SAFARI YA ENG. KIJA LIMBU NTEMI HADI UKUMBI WA BUNGE.

AMKA NA BBC KISWAHILI HABARI UKUBWA LEO IJUMAA.

AMKA NA BBC KISWAHILI HABARI UKUBWA LEO IJUMAA.

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]