Je, misaada kuanza kuingia Gaza ni faraja au ni mtego mpya kwa mamia kwa maelfu ya Wapalestina?
Автор: UTV Tanzania
Загружено: 2025-07-28
Просмотров: 12735
Описание:
Israel imeanza kuruhusu misaada ya kibinadamu kuingia Gaza ili kusaidia wananchi wa Palestina ambao wameanza kukabiliwa na utapiamlo kutokana na kufungwa kwa njia za misaada kuingia nchini humo.
Hata hivyo, Ibrahim Rahby anaamini idadi ya malori yaliyoruhusiwa kusambaza misaada hiyo ni machache ikilinganishwa na idadi ya waathirika.
Anaenda mbali zaidi na kuonesha kuwa huenda huu ukawa ni mtego wa Israel kwa mataifa makubwa ili ionekane ina dhamira njema kwa tatizo ililolitengeneza kwa Palestina.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: