UCHAMBUZI| Israel na Kundi la Hamas bado wanavutana mashati juu ya huduma za msingi kwa mateka wao
Автор: UTV Tanzania
Загружено: 2025-08-04
Просмотров: 5906
Описание:
Israel na Kundi la Hamas kutoka Gaza bado mambo sio shwali huku zikionekana kuvutana mashati juu ya huduma za msingi kwa mateka wao waliowashikilia. Katika kuangazia taarifa hizo za kimataifa Mchambuzi wa Masuala ya Siasa za Kimataifa, Ibrahim Rahbi anatoa ufafanuzi ili kuelewa nini kinaendelea.
#azamtvupdates
Imeandaliwa na Nifa Omary
Mhariri | John Mbalamwezi
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: