SIASA ZA VYAMA NA SERIKALI JUMUISHI ZASHAMIRI MAZISHINI TAKAUNGU.
Автор: COCO FM RADIO
Загружено: 2025-12-29
Просмотров: 67
Описание:
Viongozi waliojitokeza kumfariji mwenyekiti wa bodi ya barabara nchini Aisha Jumwa baada ya kufiwa na mamake mzazi,wapiga siasa za Umoja wa pwani lakini pia serikali Jumuishi.
Kinara wa ODM, Oburu Odinga amtaka Aisha Jumwa kurejea ODM, Owen Baya na Kenneth Tungule wakipuuzilia mbali uteuzi wa balozi Chirau Makwere kuwa msemaji wa Mijikenda.
#MionziyaCocoFM
#COCOFM
#ladhayapwani
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: