SOKA KIJIWENI | Ibrahim Ame 'Varane' na aliyojifunza alipokuwa Simba (06/03/2023)
Автор: Azam TV
Загружено: 2023-03-07
Просмотров: 4907
Описание:
Beki wa kati, Ibrahim Ame kwa sasa ni beki wa KMC, lakini amepita Simba akitokea Coastal Union. Kwenye kipindi hiki amezungumza mengi kuhusu safari na uwezo wake wa soka, lakini pia akataja mambo makubwa mawili aliyojifunza kutoka kwa Pascal Wawa na Joash Onyango alipokuwa Simba.
Soka Kijiweni wiki hii imeanza na mmoja kati ya makocha wenye vituko vya aina yake awapo dimbani akisimulia kilisababisha mechi moja ya ligi ya mkoa kuvunjika baada ya wachezaji kuzichapa kavukavu na mashabiki kuvamia uwanjani.
Hii hapa #SokaKijiweni ya Machi 6, 2023 na kila Jumatatu saa 1:00 usiku.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: