#TAZAMA
Автор: Daily News Digital
Загружено: 2023-04-27
Просмотров: 1428
Описание:
Waziri wa Maliasili na Utalii Mohamed Mchengerwa,ametoa maagizo kwa watendaji wa Wizara yake kuhakikisha wanawatumia Askari waliohitimu mafunzo ya awali ya kijeshi, kutatua changamoto ya wanyama wakali wanaovamia makazi ya watu na kusababisha madhara kwa wananchi ikiwemo kuharibu mazao na hata kifo.
Mchengerwa ameyasema hayo wakati akifunga mafunzo ya awali kwa askari 231 waliohitimu mafunzo ya awali ya kijeshi toka TFS na NCAA, katika kituo cha mafunzo ya kijeshi ya jeshi la Uhifadhi Mlele mkoani Katavi huku akiwataka wananchi waliovamia maeneo ya hifadhi kuondoka katika maeneo hayo.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: