Serikali yapendekeza bajeti ya shilingi trilioni 62.3 kwa mwaka 2026/27
Автор: UTV Tanzania
Загружено: 2026-03-11
Просмотров: 22
Описание:
Serikali imewasilisha mapendekezo ya mfumo na ukomo wa Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka 2026/27, ambapo inatarajia kutumia shilingi trilioni 62.334 kugharamia bajeti hiyo. Kiasi hicho ni ongezeko la asilimia 10.3 ikilinganishwa na bajeti ya mwaka unaomalizika.
Ongezeko hilo la bajeti limezingatia vigezo kadhaa, ikiwemo mapato halisi ya ndani, ongezeko la deni la taifa pamoja na mahitaji ya ajira mpya.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: