Mgogoro waibuka CUF, wanachama watishia kufungua kesi mahakamani
Автор: UTV Tanzania
Загружено: 2026-03-11
Просмотров: 58
Описание:
Mvutano umeendelea kukikumba Chama cha Wananchi (CUF) baada ya kundi la wanachama wa chama hicho linalopinga uongozi uliopo madarakani kufikia hatua za mwisho za kufungua kesi mahakamani.
Wanachama hao pia wamewasilisha barua katika Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kupinga mkutano mkuu wa chama uliofanyika Februari 21 mwaka huu, wakidai kutoutambua mkutano huo uliowaingiza madarakani viongozi wapya.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: