Wahamiaji haramu 51 raia wa Ethiopia wakamatwa Dodoma
Автор: Mwananchi Digital
Загружено: 2021-12-28
Просмотров: 2757
Описание:
Jeshi la polisi mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na jeshi la uhamiaji limekamata wahamiaji haramu 51 waliongia nchini bila kibali.
Wahamiaji hao raia wa Ethiopia walikamatwa Disemba 27 kwenye kizuizi cha Bereko wilayani Kondoa walikokuwa wanapita kutokea mikoa ya Arusha na Manyara majira ya saa 3 usiku.
Akizungumza kuhusu tukio hilo Kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma Onesmo Lyanga alisema tukio hilo limebainika katika doria ya jeshi la polisi katika kuimarisha ulinzi na usalama ndani na kwenye mipaka ya Mkoa huo kuelekea katika kufunga mwaka 2021.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: