DCI waanzisha msako mkali wa kuwakamata wezi wa simu Nairobi
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2026-02-16
Просмотров: 5635
Описание: Wizi wa simu hapa Nairobi na maeneo mengine nchini umeendelea kuwa donda sugu huku simu hizo sasa idara ya DCI ikibaini kuishia nchi za Tanzania, Uganda , Rwanda na hata Burundi. Katika operesheni ya kuwanasa wahusika ,eneo la Kericho lilipatikana kuwa eneo wanalotumia sana kusafisha mfumo wa simu hizi baada ya kuibwa . Mshukiwa mmoja amekamatwa na simu zaidi ya ishirini kunaswa pamoja na vifaa vya kusafisha mfumo wa simu hizo.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: