AWESO ACHARUKA KWA MKANDARASI HANDENI, AMPA SIKU 7 KUFIKISHA MAJI KWA MSISI
Автор: Mwananchi Digital
Загружено: 2024-12-23
Просмотров: 830
Описание:
Waziri wa maji Jumaa Aweso amewaonya wakandarasi wa maji Tanzania kutozoea shida za wananchi kwani si jambo sahihi.Aweso ameyasema hayo leo kwenye kijiji cha Komungu kata ya Kwamsisi iliyopo Wilaya ya Handeni mkoani Tanga baada ya kumuuliza mhandisi wa wilaya hiyo anayefahamika kwa jina la Hosea Joseph.
Aweso amefika kijijini hapo baada ya kupewa maelekezo na Rais Samia kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram ambako Mwandishi wa Habari wa Clouds Media, Khan Mbarouk kuchapisha video ikionyesha namna ambavyo wananchi wa kijiji hicho wakiteseka kupata maji kwa kuyatoa kwenye kisima ambacho mazingira yake si mazuri kwa afya za wakazi hao.
Video na Ammari Masimba
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: