Deus Kibamba Achambua Uhuru na Hadhi ya Tume Huru ya Uchaguzi (INEC)
Автор: The Chanzo
Загружено: 2025-05-03
Просмотров: 109361
Описание:
Chama cha Wanasheria Tanganyika TLS Leo Mei 03, 2025 wameandaa Kongamano la Kitaifa la Wadau Kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 linalofanyika makao makuu ya chama hicho Wakili House jijini Dar es Salaam.
Hata hivyo Jaji Joseph Sinde Warioba atazungumza pamoja na Mawakili kutoka TLS na Rais wa TLS Boniphace Mwabukusi
Kwa habari zaidi endelea kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo 2025 © All Rights Reserved.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: