BILI BILA MAJI ZAMPA VIULIZO SPIKA ZUNGU, ATAKA WIZARA IFUATILIE
Автор: TMC NEWS TV
Загружено: 2026-01-29
Просмотров: 80
Описание:
Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Hassan Zungu, alihoji Waziri wa Maji, Juma Aweso, kuhusu tatizo la uhaba wa maji Dar es Salaam. Ingawa hakutoa majibu Bungeni, Waziri Aweso alikiri changamoto hiyo na kuahidi Serikali imechukua hatua za haraka na za muda mrefu kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya maji kwa uhakika.#BungeLaTanzania
#MajiDarEsSalaam#JumaAweso#MussaHassanZungu#UhabaWaMaji#SerikaliTanzania
#HudumaZaMaji#DarEsSalaam
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: