Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi wa Uganda
Автор: KBC Channel 1
Загружено: 2026-01-17
Просмотров: 546
Описание:
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, ameshinda muhula wake wa saba baada ya kupata asilimia 71 ya kura zote zilizopigwa, mpinzani wake mkuu Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine akipata asilimia 24. Hata hivyo, katika ujumbe wa video kwenye mitandao yake ya kijamii, Bobi Wine amekataa matokeo hayo na kuitaka Tume ya Uchaguzi ya Uganda kuweka matokeo mtandaoni ili yaonekane wazi. Ametaja uchaguzi huo kuwa usio wa haki.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: / kbcchannel1tv
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: