DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 06.03.2026 | Mchana | Swahili Habari leo | Podcast
Автор: DW Kiswahili
Загружено: 2026-03-06
Просмотров: 17661
Описание:
Siku ya saba ya vita vya Marekani/Israel dhidi ya Iran
++ Israel na Marekani zaendelea kuishambulia miji mikuu ya Iran na Lebanon huku Iran ikizishambulia nchi za ghuba na milipuko imesikika mjini Tel Aviv.
++Mashirika ya ndege ya ndani na kimataifa yameanza safari za kuwarejesha nyumbani Waafrika waliokwama katika eneo la Mashariki ya Kati
++Mapigano katika mji wa Sudan wa Kordofan yamewaua watu 51 kati ya Jumatano na Alhamis.
#dwkiswahili #DWSwahili #HabariLeo #RipotiNaUchambuzi #TaarifaYaHabari #DWKiswahiliPodcast /Ukitaka kupata habari zetu kila siku, bonyeza 'subscribe' kwenye chaneli yetu ya DW Kiswahili.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: