Rais Ruto amkabidhi Museveni uenyekiti wa EAC katika kongamano la Arusha
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2026-03-07
Просмотров: 4974
Описание: Rais William Ruto amempokeza Yoweri Museveni wa Uganda uenyekiti wa muungano wa Afrika Mashariki EAC katika kongamano lililoandaliwa Arusha Tanzania. Aidha Balozi Stephen Patrick Mbundi kutoka Tanzania ameapishwa kama katibu mkuu wa muungano huo kabla ya kuondoka rasmi kwa katibu wa sasa Veronica Nduva mnamo Aprili mwaka huu
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: