Rais anayeondoka wa Burundi Pierre Nkurunziza amefariki
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2020-06-09
Просмотров: 18624
Описание:
Habari za hivi punde zinaarifu kuwa rais anayeondoka wa Burundi Pierre Nkurunziza amefariki. mkurunziza amefariki akiwa na umri wa miaka 55.
Habari zinaarifu alifariki akipokea matibabu katika hospitali ya Karusi Fiftieth baada ya kupata mshtuko wamoyo hapo jana. nkurunziza alihudhuria mechi ya voliboli jumamosi kabla ya kuugua.alikimbizwa hospitalini siku ya jumapili kw amujibu w amsemaji wake. mkewe nkurunziza anatibiwa katika hospitali ya aga khan hapa jijini nairobi baada ya kudaiw akuambukizwa virusi vya corona. burundi ndio nchi ya pekee ambayo haikusitisha shughuli kufuatia mlipuko wa janga la corona. nchi hiyo iliendeleza kampeni na kufanya uchaguzi ambapo jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye, alishinda. serikali ya burundi imetangaza siku saba za maombolezi.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: