Jinsi ya kupika VITUMBUA vitamu kwaajili ya FAMILIA yako | Pika na Babysky
Автор: Simulizi Na Sauti
Загружено: 2020-04-26
Просмотров: 255168
Описание:
MAHITAJI
1. Mchele vikombe vitatu/kulingana na mahitaji yako
2. Tui la nazi vikombe viwili vya chai//kulingana na mahitaji yako
3. Hamira vijiko viwili
4. Hiliki kijiko kimoja cha chai
5. Sukari kikombe kimoja
6. Mafuta ya kupikia
JINSI YA KUANDAA
-Changanya Mchele kiasi ambacho umeamua kupika ambapo kitaendana na tui litakalotosha, Sukari, Hamira na Iliki ndani ya chombo cha kusagia, weka tui lako la nazi anza kwa kuweka kikombe kimoja.. Mwisho uhakikishe uji wa mchele ni mzito wa kati usiwe mzito sana wala mwepesi!!
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: