Shirika la Posta Lakabidhi Madawati 100 Shule ya Msingi Kigondo
Автор: STARBORN PICTURES
Загружено: 2026-03-11
Просмотров: 117
Описание:
Shirika la Posta Tanzania limekabidhi msaada wa madawati 100 katika Shule ya Msingi Kigondo iliyopo Kata ya Kigondo, Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma.
Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo, mwakilishi wa Mkurugenzi wa Shirika la Posta Tanzania amewahimiza wanafunzi wa shule hiyo kuyatumia madawati hayo kwa kujisomea kwa bidii ili kufikia malengo yao ya kielimu.
Msaada huo unalenga kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi na kupunguza changamoto ya uhaba wa madawati shuleni hapo.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: