Watuhumiwa Wawili wa Uhaini na Wizi Warudishwa Rumande, Mashahidi wa Jamhuri Watoa Ushahidi Wao
Автор: The Chanzo
Загружено: 2026-02-28
Просмотров: 528
Описание:
Kesi ya jinai namba 28996/2026 inayowakabili Joshua Zacharia Thibias na Daudi Shine Joshua imeendelea leo Februari 27, 2026 mahakamani Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Hassan Makube. Mashahidi wawili wa polisi wameshuhudia katika kesi inayowahusu washtakiwa hao wanaotuhumiwa kwa makosa ya kukutwa na mali ya wizi, uvunjaji na wizi. Washtakiwa wanaendelea kukaa gerezani kutokana na kesi nyingine ya uhaini inayowakabili ambayo upelelezi wake haujakamilika.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo 2025 © All Rights Reserved.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: